Thursday, 26 June 2014
Like as, to make our appetite more keen,
With eager compounds we our palate urge;
As, to prevent our maladies unseen,
We sicken to shun sickness when we purge;
Even so, being full of your ne'er-cloying sweetness,
To bitter sauces did I frame my feeding;
And, sick of welfare, found a kind of meetness
To be diseas'd, ere that there was true needing.
Thus policy in love, to anticipate
The ills that were not, grew to faults assur'd,
And brought to medicine a healthful state
Which, rank of goodness, would by ill be cur'd;
But thence I learn and find the lesson true,
Drugs poison him that so fell sick of you.
Sonnet Sonnet CXVIII
Tuesday, 24 June 2014
One by William S
When I do count the clock that tells the time, And see the brave day sunk in hideous night; When I behold the violet past prime, And sable curls, all silvered o'er with white; When lofty trees I see barren of leaves, Which erst from heat did canopy the herd, And summer's green all girded up in sheaves, Borne on the bier with white and bristly beard, Then of thy beauty do I question make, That thou among the wastes of time must go, Since sweets and beauties do themselves forsake And die as fast as they see others grow; And nothing 'gainst Time's scythe can make defence Save breed, to brave him when he takes thee hence. Sonnet XII
Friday, 18 April 2014
Uchambuzi wa Ushairi
Istilahi zitumikazo katika Ushairi
Mizani
Ni silabi ambazo zinapatikana katika kila neno.
Vina
Ni silabi zinazopatikana kila mwisho wa kipande cha ubeti. Katika mashairi ya tenzi, kina cha kila mshororo wa mwisho kinaitwa kina cha bahari.
Mshororo
Ni mstari katika kila ubeti.
*Mstari toshelezi ni mstari ulio na mizani inayolingana na mishororo mingine.
*Mshata ni mshororo usiojitosheleza kwa idadi ya mizani.
*Mwanzo ni mshororo wa kwanza katika kila ubeti.
*Mloto ni msororo wa pili katika kila ubeti.
*Mleo ni msororo wa tatu katika kila ubeti.
*Kituo/kiishio ni mshororo wa mwisho usiorudiwarudiwa katika kila ubeti. Kituo kinachorudiwarudiwa katika kila mshororo, kinajulikana kama, kiitikio, kibwagizo, kipokeo au mkarara.
Ukwapi
Ni kipande cha kwanza cha ubeti.
Utao
Ni kipande cha pili cha ubeti.
Mwandamizi
Ni kipande cha tatu cha ubeti
Ukingo
Ni kipande cha nne cha ubeti.
_____ukwapi____, __utao_____, ______mwandamizi_, ____ukingo___.
Ubeti
Ni fungu la mishororo ambayo aghalabu injitosheleza.
Urari
Ni utaratibu wa kupanga silabi zinazorudiwarudiwa katika kila mshororo wa ubeti.
Arudhi
Ni kanuni zinazoongoza utunzi wa ushairi. Arudhi huzingatia mpangilio wa vina, beti, mishororo, mizani, vipande, kituo (kama kimerudiwa katika kila ubeti au la).
Mizani
Ni silabi ambazo zinapatikana katika kila neno.
Vina
Ni silabi zinazopatikana kila mwisho wa kipande cha ubeti. Katika mashairi ya tenzi, kina cha kila mshororo wa mwisho kinaitwa kina cha bahari.
Mshororo
Ni mstari katika kila ubeti.
*Mstari toshelezi ni mstari ulio na mizani inayolingana na mishororo mingine.
*Mshata ni mshororo usiojitosheleza kwa idadi ya mizani.
*Mwanzo ni mshororo wa kwanza katika kila ubeti.
*Mloto ni msororo wa pili katika kila ubeti.
*Mleo ni msororo wa tatu katika kila ubeti.
*Kituo/kiishio ni mshororo wa mwisho usiorudiwarudiwa katika kila ubeti. Kituo kinachorudiwarudiwa katika kila mshororo, kinajulikana kama, kiitikio, kibwagizo, kipokeo au mkarara.
Ukwapi
Ni kipande cha kwanza cha ubeti.
Utao
Ni kipande cha pili cha ubeti.
Mwandamizi
Ni kipande cha tatu cha ubeti
Ukingo
Ni kipande cha nne cha ubeti.
_____ukwapi____, __utao_____, ______mwandamizi_, ____ukingo___.
Ubeti
Ni fungu la mishororo ambayo aghalabu injitosheleza.
Urari
Ni utaratibu wa kupanga silabi zinazorudiwarudiwa katika kila mshororo wa ubeti.
Arudhi
Ni kanuni zinazoongoza utunzi wa ushairi. Arudhi huzingatia mpangilio wa vina, beti, mishororo, mizani, vipande, kituo (kama kimerudiwa katika kila ubeti au la).
Subscribe to:
Posts (Atom)